SHEKHE WA WILAYA AMWAGIWA TINDI KALI:
Sheikh Makamba anayekaimu nafasi hiyo alikutwa na hayo kati ya Saa 4:00
hadi 5:00 usiku wa kuamkia juzi akitoka kusali Tarawei na alilazwa wodi
namba nne katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru kwa
matibabu.
Vitendo kama hivi havitakiwi kabisa ktika jamii zetu,
havito tuzidishia isipokuwa chuki zaidi na mfarakano baina yetu.
Lakini hebu tujiulize:Hivi kitendo kama hiki kingetokea kwa Mchungaji au Padri hali ingekuwaje?
Ni nani angekuwa ananyooshewa vidole hivi sasa?
Twamuomba Allah amponye imamu huyu na awaponye wagonjwa wote.
Aamiiiin
SHEKHE WA WILAYA AMWAGIWA TINDI KALI:
Sheikh Makamba anayekaimu nafasi hiyo alikutwa na hayo kati ya Saa 4:00 hadi 5:00 usiku wa kuamkia juzi akitoka kusali Tarawei na alilazwa wodi namba nne katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru kwa matibabu.
Vitendo kama hivi havitakiwi kabisa ktika jamii zetu,
havito tuzidishia isipokuwa chuki zaidi na mfarakano baina yetu.
Lakini hebu tujiulize:Hivi kitendo kama hiki kingetokea kwa Mchungaji au Padri hali ingekuwaje?
Ni nani angekuwa ananyooshewa vidole hivi sasa?
Twamuomba Allah amponye imamu huyu na awaponye wagonjwa wote.
Aamiiiin
Sheikh Makamba anayekaimu nafasi hiyo alikutwa na hayo kati ya Saa 4:00 hadi 5:00 usiku wa kuamkia juzi akitoka kusali Tarawei na alilazwa wodi namba nne katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru kwa matibabu.
Vitendo kama hivi havitakiwi kabisa ktika jamii zetu,
havito tuzidishia isipokuwa chuki zaidi na mfarakano baina yetu.
Lakini hebu tujiulize:Hivi kitendo kama hiki kingetokea kwa Mchungaji au Padri hali ingekuwaje?
Ni nani angekuwa ananyooshewa vidole hivi sasa?
Twamuomba Allah amponye imamu huyu na awaponye wagonjwa wote.
Aamiiiin